Joseph Kony


Joseph Kony (alizaliwa mwaka 1961 hivi) ni kiongozi wa kundi la wanamgambo wa Lord's Resistance Army (LRA), ambalo limejihusisha na kampeni za ghasia likiwa na azma ya kuanzisha serikali inyoongozwa na viongozi wa dini nchini Uganda, kundi hili liandai limejengeka kwenye misingi ya Biblia ya Kikristo na amri kumi. Kundi la LRA ambalo lilijulikana kwa vitendo vyake dhidi ya wenyeji wa Uganda Kaskazini, limeteka nyara takribani watoto 30,000 na kusababisha watu milioni 1.6 kukimbia makazi yao tangu uasi wao ulipoanza mwaka 1986. [1] [2] [3]

  1. Flight of the child Soldiers
  2. BBC News - Mjube wa Umoja wa mataifa akutana na kiongozi wa waasi
  3. Buteera, Richard. The Reach Of Terrorists Financing And Combating It-The Links Between Terrorism And ordinary Crime. International Society of Prosecutors. Washington, DC. 12 Agosti 2003. [1] Archived 27 Aprili 2007 at the Wayback Machine.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search